Waroma 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hata hivyo, haikuandikwa kwa ajili yake tu+ kwamba “ilihesabiwa+ kwake,” 1 Wakorintho 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+
11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+