Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 10:1

Marejeo

  • +Kut 13:21
  • +Kut 14:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2001, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 14

1 Wakorintho 10:2

Marejeo

  • +Ebr 3:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2001, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 14

1 Wakorintho 10:3

Marejeo

  • +Kut 16:15

1 Wakorintho 10:4

Marejeo

  • +Kut 17:6; Zb 78:15
  • +Hes 20:11
  • +Mt 16:18; 1Pe 2:4
  • +Yoh 4:10, 25

1 Wakorintho 10:5

Marejeo

  • +Hes 14:16; Eze 20:15; Yud 5
  • +Hes 14:29; Ebr 3:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2001, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 14

1 Wakorintho 10:6

Marejeo

  • +Hes 11:34; Zb 106:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, kur. 14-15

    5/15/1999, kur. 16-17

    3/1/1995, uku. 16

    “Kila Andiko,” uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 14-15; w99 5/15 16-17

1 Wakorintho 10:7

Marejeo

  • +Kut 32:4
  • +Kut 32:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, kur. 15-16

    5/15/1999, kur. 16-17

    3/1/1995, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 15-16; w99 5/15 16-17

1 Wakorintho 10:8

Marejeo

  • +Hes 25:1; 2Pe 2:2
  • +Hes 25:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Upendo wa Mungu,” kur. 97-98

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    4/1/2004, uku. 29

    6/15/2001, kur. 16-17

    5/15/1999, kur. 16-17

    3/1/1995, kur. 16-17

    7/15/1992, kur. 4-5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; lv 98; w04 4/1 29; w01 6/15 16-17; w99 5/15 16-17

1 Wakorintho 10:9

Marejeo

  • +Kum 6:16
  • +Hes 21:5
  • +Hes 21:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, uku. 17

    3/1/1995, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 17

1 Wakorintho 10:10

Marejeo

  • +Hes 14:2
  • +Kut 23:21; Hes 14:37

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, uku. 17

    3/1/1995, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 17

1 Wakorintho 10:11

Marejeo

  • +Ro 15:4
  • +Ebr 9:26; 1Pe 4:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1996, kur. 17-22

    “Kila Andiko,” uku. 213

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 6/15 17-22

1 Wakorintho 10:12

Marejeo

  • +Met 28:14; Lu 22:34; Ro 11:20; Gal 6:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2001, uku. 11

    7/15/1989, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 3/15 11

1 Wakorintho 10:13

Marejeo

  • +1Pe 5:9
  • +1Th 5:24; 2Th 3:3
  • +Lu 22:32; 2Pe 2:9
  • +1Sa 30:6; Isa 40:29; Mdo 27:44; Flp 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    3/2024, uku. 4

    4/2019, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2023, kur. 12-13

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 46

    Ufahamu, uku. 724

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2017, kur. 29-30

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, uku. 26

    4/15/2014, uku. 21

    4/15/2012, uku. 27

    11/15/2010, kur. 27-28

    5/15/2009, uku. 22

    3/15/2008, uku. 13

    3/15/2001, kur. 11-12, 13-14

    6/15/1996, uku. 11

    10/1/1991, kur. 10-11

    3/15/1987, uku. 25

    Kukesha!, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 4/15 27; w10 11/15 27-28; w09 5/15 22; w08 3/15 13; kp 26; w01 3/15 11-14; w96 6/15 11

1 Wakorintho 10:14

Marejeo

  • +2Ko 6:17
  • +Kum 4:25; Kol 3:5; 1Yo 5:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, uku. 214

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 214

1 Wakorintho 10:15

Marejeo

  • +1Ko 14:20

1 Wakorintho 10:16

Marejeo

  • +Mt 26:27; Lu 22:17
  • +Mt 26:26; Lu 22:19
  • +1Ko 12:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2006, kur. 23-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 2/15 23-24

1 Wakorintho 10:17

Marejeo

  • +Ro 12:5; 1Ko 12:25
  • +Efe 4:4
  • +Yoh 6:33, 35

1 Wakorintho 10:18

Marejeo

  • +Ro 9:8
  • +Law 7:15

1 Wakorintho 10:19

Marejeo

  • +1Ko 8:4

1 Wakorintho 10:20

Marejeo

  • +Kum 32:17; Zb 106:37
  • +Yud 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2004, uku. 5

    1/15/1993, kur. 22-24

    12/1/1990, uku. 5

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, kur. 93-94

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 2/15 5

1 Wakorintho 10:21

Marejeo

  • +Zb 116:13
  • +Eze 41:22; Mal 1:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1994, kur. 8-13

    Kutoa Sababu, uku. 144

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 144

1 Wakorintho 10:22

Marejeo

  • +Kut 34:14; Kum 32:21
  • +Ayu 9:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1986, kur. 8-9

1 Wakorintho 10:23

Marejeo

  • +1Ko 6:12
  • +Ro 6:14
  • +Ro 14:19; 15:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 35

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 84-85

    “Upendo wa Mungu,” kur. 72-73

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1998, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 72-73; w98 3/15 19-20

1 Wakorintho 10:24

Marejeo

  • +1Ko 10:33; 13:5; Flp 2:21
  • +Flp 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 35

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 84-85

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2017, uku. 11

    “Upendo wa Mungu,” kur. 72-73

    Mwabudu Mungu, kur. 140-141

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 72-73; wt 140-141

1 Wakorintho 10:25

Marejeo

  • +1Ti 4:4
  • +Ro 14:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 12

    10/15/1992, uku. 30

    Amkeni!,

    11/8/1991, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 12

1 Wakorintho 10:26

Marejeo

  • +Zb 24:1
  • +Kut 19:5; Kum 10:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 213

1 Wakorintho 10:27

Marejeo

  • +Lu 10:8
  • +1Ko 8:7

1 Wakorintho 10:28

Marejeo

  • +1Ko 8:10

1 Wakorintho 10:29

Marejeo

  • +Ro 14:16; 1Ko 8:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Insight, uku. 501, 872▪

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/1 30

1 Wakorintho 10:30

Marejeo

  • +Ro 14:6; 1Ti 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Insight, uku. 501, 872▪

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/1 30

1 Wakorintho 10:31

Marejeo

  • +Mt 5:16; Kol 3:17; 1Pe 4:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 43

1 Wakorintho 10:32

Marejeo

  • +Ro 14:13; 1Ko 8:13; 2Ko 6:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 43

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2007, uku. 22

    9/1/1992, kur. 21-22

    Mwabudu Mungu, kur. 140-141

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/15 22; wt 140-141

1 Wakorintho 10:33

Marejeo

  • +1Ko 9:22
  • +Ro 15:2; Flp 2:4
  • +1Th 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 52

    Mnara wa Mlinzi, 3/1/2004, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/1 30

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 10:1Kut 13:21
1 Kor. 10:1Kut 14:22
1 Kor. 10:2Ebr 3:5
1 Kor. 10:3Kut 16:15
1 Kor. 10:4Kut 17:6; Zb 78:15
1 Kor. 10:4Hes 20:11
1 Kor. 10:4Mt 16:18; 1Pe 2:4
1 Kor. 10:4Yoh 4:10, 25
1 Kor. 10:5Hes 14:16; Eze 20:15; Yud 5
1 Kor. 10:5Hes 14:29; Ebr 3:17
1 Kor. 10:6Hes 11:34; Zb 106:14
1 Kor. 10:7Kut 32:4
1 Kor. 10:7Kut 32:6
1 Kor. 10:8Hes 25:1; 2Pe 2:2
1 Kor. 10:8Hes 25:9
1 Kor. 10:9Kum 6:16
1 Kor. 10:9Hes 21:5
1 Kor. 10:9Hes 21:6
1 Kor. 10:10Hes 14:2
1 Kor. 10:10Kut 23:21; Hes 14:37
1 Kor. 10:11Ro 15:4
1 Kor. 10:11Ebr 9:26; 1Pe 4:7
1 Kor. 10:12Met 28:14; Lu 22:34; Ro 11:20; Gal 6:1
1 Kor. 10:131Pe 5:9
1 Kor. 10:131Th 5:24; 2Th 3:3
1 Kor. 10:13Lu 22:32; 2Pe 2:9
1 Kor. 10:131Sa 30:6; Isa 40:29; Mdo 27:44; Flp 4:13
1 Kor. 10:142Ko 6:17
1 Kor. 10:14Kum 4:25; Kol 3:5; 1Yo 5:21
1 Kor. 10:151Ko 14:20
1 Kor. 10:16Mt 26:27; Lu 22:17
1 Kor. 10:16Mt 26:26; Lu 22:19
1 Kor. 10:161Ko 12:18
1 Kor. 10:17Ro 12:5; 1Ko 12:25
1 Kor. 10:17Efe 4:4
1 Kor. 10:17Yoh 6:33, 35
1 Kor. 10:18Ro 9:8
1 Kor. 10:18Law 7:15
1 Kor. 10:191Ko 8:4
1 Kor. 10:20Kum 32:17; Zb 106:37
1 Kor. 10:20Yud 6
1 Kor. 10:21Zb 116:13
1 Kor. 10:21Eze 41:22; Mal 1:12
1 Kor. 10:22Kut 34:14; Kum 32:21
1 Kor. 10:22Ayu 9:4
1 Kor. 10:231Ko 6:12
1 Kor. 10:23Ro 6:14
1 Kor. 10:23Ro 14:19; 15:2
1 Kor. 10:241Ko 10:33; 13:5; Flp 2:21
1 Kor. 10:24Flp 2:4
1 Kor. 10:251Ti 4:4
1 Kor. 10:25Ro 14:22
1 Kor. 10:26Zb 24:1
1 Kor. 10:26Kut 19:5; Kum 10:14
1 Kor. 10:27Lu 10:8
1 Kor. 10:271Ko 8:7
1 Kor. 10:281Ko 8:10
1 Kor. 10:29Ro 14:16; 1Ko 8:12
1 Kor. 10:30Ro 14:6; 1Ti 4:3
1 Kor. 10:31Mt 5:16; Kol 3:17; 1Pe 4:11
1 Kor. 10:32Ro 14:13; 1Ko 8:13; 2Ko 6:3
1 Kor. 10:331Ko 9:22
1 Kor. 10:33Ro 15:2; Flp 2:4
1 Kor. 10:331Th 2:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 10:1-33

1 Wakorintho

10 Basi sitaki mkose kujua, akina ndugu, kwamba mababu zetu walikuwa wote chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari + 2 na wote walibatizwa katika Musa+ kupitia wingu na bahari; 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+ 4 na wote walikunywa maji+ yaleyale ya kiroho. Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba+ wa kiroho uliowafuata, na mwamba+ huo ulimaanisha Kristo.+ 5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.

6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu sisi, ili tusiwe watu wanaotamani mambo mabaya,+ kama wao walivyoyatamani. 7 Wala tusiwe waabudu-sanamu, kama baadhi yao walivyofanya;+ kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa, nao wakasimama wapate kujifurahisha.”+ 8 Wala tusifanye uasherati, kama baadhi yao walivyofanya uasherati,+ na kuanguka, 23,000 kati yao katika siku moja.+ 9 Wala tusimjaribu Yehova,+ kama baadhi yao walivyomjaribu,+ na kuangamizwa na nyoka.+ 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+ 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+

12 Kwa hiyo yeye anayefikiri kuwa amesimama na ajihadhari kwamba asianguke.+ 13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.

14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni+ ibada ya sanamu.+ 15 Nasema kana kwamba ni kwa watu wenye utambuzi;+ hukumuni ninyi wenyewe lile ninalosema. 16 Kikombe+ cha baraka ambacho tunabariki, je, hicho si kushiriki katika damu ya Kristo? Ule mkate ambao tunamega,+ je, huo si kushiriki katika mwili wa Kristo?+ 17 Kwa sababu kuna mkate mmoja, sisi, ingawa tuko wengi,+ ni mwili mmoja,+ kwa maana sisi sote tunakula huo mkate mmoja.+

18 Tazameni kile ambacho ni Israeli kwa njia ya kimwili:+ Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+ 19 Basi, niseme nini? Kwamba kile ambacho kimetolewa dhabihu kwa sanamu ni kitu, au kwamba sanamu ni kitu?+ 20 Hapana; bali nasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu,+ na si kwa Mungu; nami sitaki ninyi muwe washiriki pamoja na roho waovu.+ 21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova+ na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”+ na meza ya roho waovu. 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?

23 Mambo yote ni halali; lakini si mambo yote yaliyo na faida.+ Mambo yote ni halali;+ lakini si mambo yote yanayojenga.+ 24 Kila mmoja na aendelee kutafuta, si faida yake mwenyewe,+ bali ile ya yule mtu mwingine.+

25 Endeleeni kula kila kitu kinachouzwa katika soko la nyama,+ bila kuchunguza kwa sababu ya dhamiri yenu;+ 26 kwa maana “dunia na vyote vinavyoijaza+ ni vya Yehova.”+ 27 Yeyote kati ya wasio waamini akiwaalika nanyi mtake kwenda, kuleni kila kitu kinachowekwa mbele yenu,+ bila kuchunguza kwa sababu ya dhamiri yenu.+ 28 Lakini yeyote akiwaambia ninyi: “Hiki ni kitu kilichotolewa katika dhabihu,” msile kwa sababu ya yule aliyefunua hilo na kwa sababu ya dhamiri.+ 29 “Dhamiri,” nasema, si yako mwenyewe, bali ile ya yule mtu mwingine. Kwa maana kwa nini iwe kwamba uhuru wangu unahukumiwa na dhamiri ya mtu mwingine?+ 30 Ikiwa nakula nikiwa na shukrani, kwa nini nitukanwe juu ya kile ninachotolea shukrani?+

31 Kwa hiyo, kama mnakula au mnakunywa au mnafanya jambo lingine lolote, fanyeni mambo yote kwa utukufu wa Mungu.+ 32 Epukeni kuwa vikwazo+ kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu, 33 kama vile mimi ninavyowapendeza watu wote katika mambo yote,+ bila kutafuta faida yangu mwenyewe+ bali ile ya walio wengi, ili wapate kuokolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki