1 Wakorintho 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 kama vile mimi ninavyowapendeza watu wote katika mambo yote,+ bila kutafuta faida yangu mwenyewe+ bali ile ya walio wengi, ili wapate kuokolewa.+ 1 Wakorintho 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.+ Wafilipi 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana wengine wote wanatafuta faida zao wenyewe,+ wala si zile za Kristo Yesu.
33 kama vile mimi ninavyowapendeza watu wote katika mambo yote,+ bila kutafuta faida yangu mwenyewe+ bali ile ya walio wengi, ili wapate kuokolewa.+