Waroma 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu. 1 Wakorintho 14:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa adabu na kwa mpango.+
13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu.