1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, Wakolosai 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana ingawa sipo katika mwili, hata hivyo mimi nipo pamoja nanyi katika roho,+ nikishangilia na kuona utaratibu+ wenu mzuri na uthabiti wa imani+ yenu kumwelekea Kristo.
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,
5 Kwa maana ingawa sipo katika mwili, hata hivyo mimi nipo pamoja nanyi katika roho,+ nikishangilia na kuona utaratibu+ wenu mzuri na uthabiti wa imani+ yenu kumwelekea Kristo.