Methali 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Dhabihu ya waovu ni chukizo.+ Na mtu anapoileta akiwa na mwenendo mpotovu+ ni zaidi. Waefeso 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakiisha kuishiwa na ufahamu wote wa maadili,+ walijitoa wenyewe ili kuwa na mwenendo mpotovu+ na kufanya ukosefu wa usafi+ wa kila namna kwa pupa.+
19 Wakiisha kuishiwa na ufahamu wote wa maadili,+ walijitoa wenyewe ili kuwa na mwenendo mpotovu+ na kufanya ukosefu wa usafi+ wa kila namna kwa pupa.+