Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Uchi wa mwanamke na binti yake usiufunue.+ Binti ya mwana wake na binti ya binti yake usimchukue ili kuufunua uchi wake. Wao wana uhusiano wa damu. Ni mwenendo mpotovu.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Usilete malipo+ ya kahaba au bei ya mbwa+ ndani ya nyumba ya Yehova Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu hao ni chukizo kwa Yehova Mungu wako, naam, wote wawili.

  • Waamuzi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi nikamshika suria wangu, nikamkatakata vipande na kumpeleka katika kila shamba la urithi wa Israeli,+ kwa sababu walikuwa wametenda mwenendo mpotovu+ na upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.+

  • 1 Samweli 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 basi nikasema moyoni mwangu,+ ‘Sasa Wafilisti watashuka juu yangu katika Gilgali, nami sijautuliza uso wa Yehova.’ Kwa hiyo nikajilazimisha,+ nikaitoa dhabihu ya kuteketezwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki