Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 13:1

Marejeo

  • +Mdo 13:21

1 Samweli 13:2

Marejeo

  • +1Sa 14:5; Isa 10:28
  • +1Sa 18:1; 2Sa 1:4; 21:7
  • +Yos 18:28; 1Sa 10:26; 15:34

1 Samweli 13:3

Marejeo

  • +1Sa 10:5; 2Sa 23:14
  • +Yos 13:2; 1Sa 9:16
  • +Yos 18:24; 21:17; Zek 14:10
  • +Amu 3:27; 6:34; 2Sa 2:28; 20:1

1 Samweli 13:4

Marejeo

  • +Mwa 34:30; Kut 5:21
  • +Yos 5:9; 1Sa 7:16; 11:14

1 Samweli 13:5

Marejeo

  • +Kum 20:1
  • +Mwa 22:17; Yos 11:4; Amu 7:12
  • +Yos 7:2; 18:12; 1Sa 14:23

1 Samweli 13:6

Marejeo

  • +Kum 4:30
  • +Kum 20:3; 1Sa 14:11

1 Samweli 13:7

Marejeo

  • +Law 26:36
  • +Hes 32:1; Yos 13:24
  • +1Sa 10:26; Met 24:10

1 Samweli 13:8

Marejeo

  • +1Sa 10:8

1 Samweli 13:9

Marejeo

  • +1Sa 15:11, 22, 23; Zb 37:7; Met 11:2; 13:10; 21:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2017, uku. 17

1 Samweli 13:10

Marejeo

  • +Mwa 47:7; Ru 2:4; 1Sa 15:13; 25:14

1 Samweli 13:11

Marejeo

  • +Yos 7:19; Ro 14:12
  • +Kum 20:1; 1Sa 13:6
  • +1Sa 13:8
  • +1Sa 13:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2000, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/1 12-13

1 Samweli 13:12

Marejeo

  • +Met 3:5; 14:12; 19:21
  • +Met 11:2; 21:24; Mik 6:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2000, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/1 12-13

1 Samweli 13:13

Marejeo

  • +Met 13:21; Mhu 7:17; Yer 5:4
  • +Zb 119:4; Mhu 12:13; 1Yo 5:3
  • +1Sa 10:8; 15:11

1 Samweli 13:14

Marejeo

  • +Kum 17:20; 1Sa 15:28
  • +1Sa 16:1; 2Sa 7:15; Zb 78:70; 89:20; Mdo 13:22
  • +Mwa 49:10; 2Sa 5:2; 7:8; 1Nya 28:4
  • +1Sa 10:8; Yer 7:23; 11:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2011, kur. 26-29

    1/1/1989, uku. 23

    “Kila Andiko,” uku. 63

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/1 26-29

1 Samweli 13:15

Marejeo

  • +1Sa 13:7; 14:2

1 Samweli 13:16

Marejeo

  • +Yos 18:24; 1Sa 13:3
  • +1Sa 13:2; Isa 10:28

1 Samweli 13:17

Marejeo

  • +1Sa 11:11
  • +Yos 18:23

1 Samweli 13:18

Marejeo

  • +Yos 10:11; 18:13; 1Nya 6:68; 2Nya 8:5

1 Samweli 13:19

Marejeo

  • +2Fa 24:14

1 Samweli 13:20

Marejeo

  • +Mwa 4:22; Met 27:17

1 Samweli 13:21

Marejeo

  • +Amu 3:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ibada Safi, uku. 75

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2028

    The Watchtower,

    3/15/2005, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 3/15 29

1 Samweli 13:22

Marejeo

  • +Amu 7:20; 1Sa 17:47, 50; Zb 44:3; Zek 4:6
  • +1Sa 9:16

1 Samweli 13:23

Marejeo

  • +1Sa 14:4
  • +1Sa 13:2; 14:5; Isa 10:28

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 13:1Mdo 13:21
1 Sam. 13:21Sa 14:5; Isa 10:28
1 Sam. 13:21Sa 18:1; 2Sa 1:4; 21:7
1 Sam. 13:2Yos 18:28; 1Sa 10:26; 15:34
1 Sam. 13:31Sa 10:5; 2Sa 23:14
1 Sam. 13:3Yos 13:2; 1Sa 9:16
1 Sam. 13:3Yos 18:24; 21:17; Zek 14:10
1 Sam. 13:3Amu 3:27; 6:34; 2Sa 2:28; 20:1
1 Sam. 13:4Mwa 34:30; Kut 5:21
1 Sam. 13:4Yos 5:9; 1Sa 7:16; 11:14
1 Sam. 13:5Kum 20:1
1 Sam. 13:5Mwa 22:17; Yos 11:4; Amu 7:12
1 Sam. 13:5Yos 7:2; 18:12; 1Sa 14:23
1 Sam. 13:6Kum 4:30
1 Sam. 13:6Kum 20:3; 1Sa 14:11
1 Sam. 13:7Law 26:36
1 Sam. 13:7Hes 32:1; Yos 13:24
1 Sam. 13:71Sa 10:26; Met 24:10
1 Sam. 13:81Sa 10:8
1 Sam. 13:91Sa 15:11, 22, 23; Zb 37:7; Met 11:2; 13:10; 21:24
1 Sam. 13:10Mwa 47:7; Ru 2:4; 1Sa 15:13; 25:14
1 Sam. 13:11Yos 7:19; Ro 14:12
1 Sam. 13:11Kum 20:1; 1Sa 13:6
1 Sam. 13:111Sa 13:8
1 Sam. 13:111Sa 13:5
1 Sam. 13:12Met 3:5; 14:12; 19:21
1 Sam. 13:12Met 11:2; 21:24; Mik 6:8
1 Sam. 13:13Met 13:21; Mhu 7:17; Yer 5:4
1 Sam. 13:13Zb 119:4; Mhu 12:13; 1Yo 5:3
1 Sam. 13:131Sa 10:8; 15:11
1 Sam. 13:14Kum 17:20; 1Sa 15:28
1 Sam. 13:141Sa 16:1; 2Sa 7:15; Zb 78:70; 89:20; Mdo 13:22
1 Sam. 13:14Mwa 49:10; 2Sa 5:2; 7:8; 1Nya 28:4
1 Sam. 13:141Sa 10:8; Yer 7:23; 11:7
1 Sam. 13:151Sa 13:7; 14:2
1 Sam. 13:16Yos 18:24; 1Sa 13:3
1 Sam. 13:161Sa 13:2; Isa 10:28
1 Sam. 13:171Sa 11:11
1 Sam. 13:17Yos 18:23
1 Sam. 13:18Yos 10:11; 18:13; 1Nya 6:68; 2Nya 8:5
1 Sam. 13:192Fa 24:14
1 Sam. 13:20Mwa 4:22; Met 27:17
1 Sam. 13:21Amu 3:31
1 Sam. 13:22Amu 7:20; 1Sa 17:47, 50; Zb 44:3; Zek 4:6
1 Sam. 13:221Sa 9:16
1 Sam. 13:231Sa 14:4
1 Sam. 13:231Sa 13:2; 14:5; Isa 10:28
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 13:1-23

1 Samweli

13 Sauli alikuwa na umri wa miaka [?] alipoanza kutawala,+ naye akatawala miaka miwili juu ya Israeli. 2 Na Sauli akajichagulia watu elfu tatu katika Israeli; na elfu mbili walikuwa pamoja na Sauli huko Mikmashi+ na katika eneo lenye milima la Betheli, na elfu moja wakawa pamoja na Yonathani+ huko Gibea+ la Benyamini, naye akawaacha watu wale wengine waende zao, kila mmoja kwenye hema lake. 3 Ndipo Yonathani akaipiga kambi ya kijeshi+ ya Wafilisti+ iliyokuwa katika Geba;+ nao Wafilisti wakasikia habari hizo. Naye Sauli akapiga baragumu+ nchini kote, akisema: “Waebrania na wasikie!” 4 Na Israeli wote wakasikia habari: “Sauli ameipiga kambi ya kijeshi ya Wafilisti, na sasa Israeli wamekuwa harufu mbaya+ kwa Wafilisti.” Basi watu wakakusanywa pamoja, wamfuate Sauli huko Gilgali.+

5 Nao Wafilisti, kwa upande wao, wakakusanyika pamoja ili kupigana na Israeli, magari ya vita 30,000+ na wapanda-farasi 6,000 na watu wengi kama chembe za mchanga kando ya bahari;+ nao wakaondoka, wakapanda na kupiga kambi katika Mikmashi upande wa mashariki wa Beth-aveni.+ 6 Na watu wa Israeli wakaona kwamba wako katika shida kali,+ kwa sababu watu walikuwa wamebanwa sana; na watu wakajificha katika mapango+ na mashimo na miamba na ngome na mashimo ya maji. 7 Hata Waebrania wakavuka Yordani+ kwenda katika nchi ya Gadi+ na Gileadi. Lakini Sauli alikuwa bado katika Gilgali, na watu wote wakamfuata wakitetemeka.+ 8 Naye akaendelea kungojea siku saba mpaka wakati uliowekwa ambao Samweli alikuwa amesema;+ na Samweli hakuja Gilgali, na watu wakawa wanatawanyika kutoka kwake. 9 Mwishowe Sauli akasema: “Leteni karibu nami dhabihu ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika.” Basi akaitoa dhabihu ya kuteketezwa.+

10 Na ikawa kwamba mara alipokuwa amemaliza kuitoa dhabihu ya kuteketezwa, tazama, Samweli alikuwa anaingia. Basi Sauli akatoka kwenda kumpokea na kumbariki.+ 11 Ndipo Samweli akasema: “Umefanya nini?”+ Naye Sauli akasema: “Niliona kwamba watu wametawanyika kutoka kwangu,+ nawe hukuja katika siku zilizowekwa,+ na Wafilisti walikuwa wakikusanyika pamoja huko Mikmashi,+ 12 basi nikasema moyoni mwangu,+ ‘Sasa Wafilisti watashuka juu yangu katika Gilgali, nami sijautuliza uso wa Yehova.’ Kwa hiyo nikajilazimisha,+ nikaitoa dhabihu ya kuteketezwa.”

13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu.+ Hukuishika amri+ ya Yehova Mungu wako ambayo alikuamuru,+ kwa sababu, kama ungeishika, Yehova angeufanya ufalme wako juu ya Israeli kuwa imara mpaka wakati usio na kipimo. 14 Lakini sasa ufalme wako hautadumu.+ Yehova atajitafutia mtu anayekubalika kwa moyo wake;+ na Yehova atamweka kuwa kiongozi+ juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukushika yale aliyokuamuru Yehova.”+

15 Kisha Samweli akaondoka, akaenda zake kutoka Gilgali mpaka Gibea la Benyamini, naye Sauli akawahesabu watu, wale waliokuwa bado pamoja naye, karibu watu mia sita.+ 16 Na Sauli na Yonathani mwana wake na watu waliokuwa bado pamoja nao walikuwa wakikaa katika Geba+ la Benyamini. Nao Wafilisti walikuwa wamepiga kambi katika Mikmashi.+ 17 Na vikosi vya waporaji vikawa vikifanya mashambulizi kutoka katika kambi ya Wafilisti vikiwa vikosi vitatu.+ Kikosi kimoja kikawa kikigeukia kwenye barabara inayoenda Ofra,+ mpaka nchi ya Shuali, 18 na kile kikosi kingine kikawa kikigeukia kwenye barabara ya Beth-horoni,+ na kile kikosi cha tatu kikawa kikigeukia kwenye barabara iliyo kwenye mpaka ulio upande wa bonde la Seboimu, kuelekea nyikani.

19 Basi hakuonekana fundi wa chuma yeyote katika nchi yote ya Israeli, kwa sababu Wafilisti walikuwa wamesema: “Ili Waebrania wasitengeneze upanga wala mkuki.”+ 20 Na Waisraeli wote wakawa wakishuka kwenda kwa Wafilisti ili wanolewe kila mmoja wao jembe lake au jembetezo lake au shoka lake au mundu wake.+ 21 Na bei ya kunoa ikawa ni pimu moja kwa majembe na kwa majembetezo na kwa vifaa vyenye meno matatu na kwa mashoka na kwa kuimarisha mchokoo wa ng’ombe.+ 22 Na ikawa katika siku ya pigano kwamba haukuonekana upanga+ wala mkuki mkononi mwa mtu yeyote aliyekuwa pamoja na Sauli na Yonathani; lakini kukapatikana mmoja uliokuwa wa Sauli+ na wa Yonathani mwana wake.

23 Basi kituo cha mbele+ cha Wafilisti kikawa kikishambulia kuingia katika kipito cha mfereji cha Mikmashi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki