2 Basi Yoshua akatuma wanaume kutoka Yeriko kwenda Ai,+ jiji lililo karibu na Beth-aveni,+ upande wa mashariki wa Betheli,+ na kuwaambia: “Pandeni juu, mkaipeleleze nchi.” Basi wanaume hao wakapanda, wakapeleleza Ai.+
12 Na mpaka wao ukawa katika pembe ya kaskazini kutoka Yordani, na mpaka huo ukapanda hadi kwenye mteremko wa Yeriko+ upande wa kaskazini na kupanda kwenye mlima upande wa magharibi, na mwisho wake ukawa katika nyika ya Beth-aveni.+