Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Una furaha, Ee Israeli!+

      Ni nani aliye kama wewe,+

      Kikundi cha watu kinachofurahia wokovu wa Yehova,+

      Aliye ngao ya msaada wako,+

      Na Yule aliye upanga wako wa adhama?+

      Kwa hiyo adui zako watatetemeka mbele yako,+

      Na wewe—utapakanyaga mahali pao pa juu.”+

  • Waamuzi 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na wakati Yehova alipowasimamishia waamuzi,+ Yehova akawa pamoja na mwamuzi huyo, naye akawaokoa kutoka mkononi mwa adui zao siku zote za mwamuzi huyo; kwa maana Yehova alikuwa akijuta+ kwa ajili ya kuugua kwao kwa sababu ya wakandamizaji+ wao na wale waliokuwa wakiwasukuma huku na huku.

  • 2 Wafalme 19:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+

  • Zaburi 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Uyafanye matendo yako ya fadhili zenye upendo yawe ya ajabu,+ Ee Mwokozi wa wale wanaotafuta kimbilio

      Kutoka kwa waasi walio dhidi ya mkono wako wa kuume.+

  • Zaburi 44:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana ulituokoa kutoka kwa wapinzani wetu,+

      Nawe ukawafanya waone aibu wale wanaotuchukia vikali.+

  • Isaya 63:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye aliendelea kusema: “Hakika wao ni watu wangu,+ wana ambao hawataonekana kuwa waongo.”+ Basi akawa Mwokozi+ wao.

  • Hosea 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini nitaionyesha rehema nyumba ya Yuda,+ nami nitawaokoa kupitia kwa Yehova Mungu wao;+ wala sitawaokoa kwa upinde wala kwa upanga wala kwa vita, wala kwa farasi wala kwa wapanda-farasi.”+

  • 1 Timotheo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kwa kusudi hili tunafanya kazi kwa bidii na kujikaza wenyewe,+ kwa sababu tumeweka tumaini+ letu juu ya Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa watu waaminifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki