Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+ Zaburi 106:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walimsahau Mungu Mwokozi wao,+Mtendaji wa mambo makuu nchini Misri,+
30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+