Kumbukumbu la Torati 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii. Zaburi 106:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akawaokoa kwa ajili ya jina lake,+Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+
20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.