Yoshua 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+ Zaburi 143:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+ Ezekieli 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nilitenda kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao nilikuwa nimewatoa mbele ya macho yao.+
9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+
11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+
14 Lakini nilitenda kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao nilikuwa nimewatoa mbele ya macho yao.+