Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako.

  • Kumbukumbu la Torati 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+

      Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+

      Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+

      Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+

  • Zaburi 106:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye akawaokoa kwa ajili ya jina lake,+

      Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+

  • Zaburi 143:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+

      Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+

  • Ezekieli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nikachukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa ambayo walikuwa katikati yao,+ kwa sababu nilikuwa nimejijulisha kwao mbele ya macho yao kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki