12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako.
28 ili nchi+ uliyotutoa ndani yake isije ikasema: “Kwa sababu Yehova hakuweza kuwaingiza katika nchi aliyokuwa amewaapia, na kwa sababu aliwachukia, ndiyo maana aliwatoa ili apate kuwaua nyikani.”+
9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+