Yoshua 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+ Zaburi 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anaiburudisha nafsi yangu.+Ananiongoza katika mapito ya uadilifu kwa ajili ya jina lake.+ Zaburi 106:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akawaokoa kwa ajili ya jina lake,+Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+ Yeremia 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+ Ezekieli 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nilitenda kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao nilikuwa nimewatoa mbele ya macho yao.+
9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+
21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+
14 Lakini nilitenda kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao nilikuwa nimewatoa mbele ya macho yao.+