Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+

  • Zaburi 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Anaiburudisha nafsi yangu.+

      Ananiongoza katika mapito ya uadilifu kwa ajili ya jina lake.+

  • Zaburi 106:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye akawaokoa kwa ajili ya jina lake,+

      Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+

  • Yeremia 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+

  • Ezekieli 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini nilitenda kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao nilikuwa nimewatoa mbele ya macho yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki