22 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, Ee nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo mmeingia.” ’+
15 “Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu, wewe uliyewatoa watu wako katika nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu,+ ukajifanyia jina kama ilivyo leo hii,+ sisi tumetenda dhambi,+ tumetenda kwa uovu.