Kutoka 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini, kwa kweli, kwa sababu hii nimekuacha uendelee kuwako,+ ili kukuonyesha nguvu zangu na ili nifanye jina langu litangazwe katika dunia yote.+ Nehemia 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo ukatoa ishara na miujiza juu ya Farao na watumishi wake wote na watu wote wa nchi yake,+ kwa maana ulijua kwamba walitenda kwa kimbelembele+ juu yao; nawe ukajifanyia jina+ kama ilivyo leo hii. Zaburi 106:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akawaokoa kwa ajili ya jina lake,+Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+
16 Lakini, kwa kweli, kwa sababu hii nimekuacha uendelee kuwako,+ ili kukuonyesha nguvu zangu na ili nifanye jina langu litangazwe katika dunia yote.+
10 Ndipo ukatoa ishara na miujiza juu ya Farao na watumishi wake wote na watu wote wa nchi yake,+ kwa maana ulijua kwamba walitenda kwa kimbelembele+ juu yao; nawe ukajifanyia jina+ kama ilivyo leo hii.