Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana tumesikia jinsi ambavyo Yehova aliyakausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mlipotoka Misri,+ na yale mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ ambao mliwaangamiza.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa,

      Matendo yake ya ajabu kati ya vikundi vyote vya watu.

  • Isaya 63:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeye aliyeufanya mkono+ Wake mzuri uende upande wa mkono wa kuume wa Musa; Yeye aliyegawanya maji kutoka mbele yao+ ili kujifanyia mwenyewe jina linalodumu mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Malaki 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana tangu kuchomoza kwa jua mpaka kutua kwake jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,+ na kila mahali moshi wa dhabihu+ utafukizwa, toleo litafanywa kwa jina langu, pia zawadi safi;+ kwa kuwa jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • Waroma 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki, ili kuhusiana na wewe nionyeshe nguvu zangu, na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki