Zaburi 66:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nitakutolea matoleo mazima ya kuteketezwa ya vinono,+Pamoja na moshi wa dhabihu wa kondoo-dume.Nitatoa ng’ombe-dume pamoja na mbuzi-dume.+ Sela. Waroma 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
15 Nitakutolea matoleo mazima ya kuteketezwa ya vinono,+Pamoja na moshi wa dhabihu wa kondoo-dume.Nitatoa ng’ombe-dume pamoja na mbuzi-dume.+ Sela.
12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+