Zaburi 110:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+ 1 Wakorintho 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa maana mlinunuliwa kwa bei.+ Kwa vyovyote, mtukuzeni+ Mungu katika mwili+ wenu.
3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+