Waamuzi 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kwa kuacha nywele zining’inie katika Israeli kwa ajili ya vita,Kwa ajili ya watu kujitolea,+Mbarikini Yehova.+ Zaburi 119:108 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 108 Tafadhali furahia matoleo ya hiari ya kinywa changu, Ee Yehova,+Na unifundishe maamuzi yako ya hukumu.+ Isaya 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nikaanza kuisikia sauti ya Yehova akisema: “Nitamtuma nani, na ni nani atakayeenda kwa ajili yetu?”+ Nami nikasema: “Mimi hapa! Nitume mimi.”+ Mathayo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mara moja wakaziacha nyavu,+ wakamfuata. Luka 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na baada ya kuacha kila kitu+ akaondoka akaanza kumfuata. 1 Wakorintho 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama nikifanya hilo kwa kupenda,+ nina thawabu;+ lakini kama nikifanya hilo kinyume cha kupenda kwangu, vyovyote vile nina usimamizi-nyumba+ niliokabidhiwa.
2 “Kwa kuacha nywele zining’inie katika Israeli kwa ajili ya vita,Kwa ajili ya watu kujitolea,+Mbarikini Yehova.+
108 Tafadhali furahia matoleo ya hiari ya kinywa changu, Ee Yehova,+Na unifundishe maamuzi yako ya hukumu.+
8 Nami nikaanza kuisikia sauti ya Yehova akisema: “Nitamtuma nani, na ni nani atakayeenda kwa ajili yetu?”+ Nami nikasema: “Mimi hapa! Nitume mimi.”+
17 Kama nikifanya hilo kwa kupenda,+ nina thawabu;+ lakini kama nikifanya hilo kinyume cha kupenda kwangu, vyovyote vile nina usimamizi-nyumba+ niliokabidhiwa.