5 Tazama! nimewafundisha masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wangu ameniamuru mimi, ili ninyi mfanye hivyo katikati ya nchi ambayo mnaenda kuimiliki.
17 Yehova, Mkombozi wako,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako, Yeye anayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,+ Yeye anayekufanya uende katika njia unayopaswa kutembea ndani yake.+