Mambo ya Walawi 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+ Zaburi 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za uadilifu,+Na dhabihu za kuteketezwa na toleo zima;+Ndipo ng’ombe-dume watakapotolewa katika madhabahu yako mwenyewe.+
9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
19 Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za uadilifu,+Na dhabihu za kuteketezwa na toleo zima;+Ndipo ng’ombe-dume watakapotolewa katika madhabahu yako mwenyewe.+