Malaki 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.
3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.