Mambo ya Walawi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na ili kuwafundisha wana wa Israeli+ masharti yote ambayo Yehova amesema kupitia Musa.” Mambo ya Walawi 26:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Hayo ndiyo masharti na maamuzi ya hukumu+ na sheria ambazo Yehova aliweka kati yake na wana wa Israeli katika Mlima Sinai kupitia Musa.+ Hesabu 30:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Hayo ndiyo masharti ambayo Yehova alimwamuru Musa yawe kati ya mume na mke wake,+ kati ya baba na binti yake wakati wa ujana wake katika nyumba ya baba yake.”+
46 Hayo ndiyo masharti na maamuzi ya hukumu+ na sheria ambazo Yehova aliweka kati yake na wana wa Israeli katika Mlima Sinai kupitia Musa.+
16 “Hayo ndiyo masharti ambayo Yehova alimwamuru Musa yawe kati ya mume na mke wake,+ kati ya baba na binti yake wakati wa ujana wake katika nyumba ya baba yake.”+