Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Jilinde katika pigo la ukoma,+ ujitunze vizuri na kufanya yote ambayo makuhani Walawi watawaagiza ninyi.+ Kama vile nilivyowaamuru, muwe waangalifu kufanya.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+

      Na Israeli sheria yako.+

      Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+

      Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wakaanza kufundisha+ katika Yuda, nao walikuwa na kitabu cha sheria ya Yehova;+ nao wakaendelea kuzunguka katika majiji yote ya Yuda na kufundisha kati ya watu.

  • Nehemia 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wakaendelea kusoma+ kwa sauti katika kitabu hicho, katika sheria ya Mungu wa kweli, nayo ikafafanuliwa, na kuelezwa maana yake; nao wakaendelea kufafanua usomaji huo.+

  • Yeremia 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wakasema: “Njooni, tutafakari juu ya Yeremia wazo fulani,+ kwa maana sheria haitaangamia kutoka kwa kuhani+ au shauri kutoka kwa mwenye hekima au neno kutoka kwa nabii.+ Njooni tumpige kwa ulimi,+ nasi tusisikilize lolote la maneno yake.”

  • Malaki 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki