20 Wakati Azaria yule mkuu wa makuhani na makuhani wote walipogeuka kumwelekea, tazama, alikuwa amepigwa na ukoma katika paji la uso wake!+ Kwa hiyo wakaanza kumtoa hapo upesi, naye mwenyewe pia akafanya haraka kutoka nje, kwa sababu Yehova alikuwa amempiga.+