Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ikiwa ngozi ya mwili wa mtu itatokeza upele au kigaga+ au doa na kukua katika ngozi ya mwili wake na kuwa pigo la ukoma,+ basi ataletwa kwa Haruni kuhani au kwa mmoja wa wanawe walio makuhani.+

  • Mambo ya Walawi 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye kuhani+ ataiona nyama hai, naye atamtangaza kuwa asiye safi. Hiyo nyama hai si safi. Ni ukoma.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wakati Azaria yule mkuu wa makuhani na makuhani wote walipogeuka kumwelekea, tazama, alikuwa amepigwa na ukoma katika paji la uso wake!+ Kwa hiyo wakaanza kumtoa hapo upesi, naye mwenyewe pia akafanya haraka kutoka nje, kwa sababu Yehova alikuwa amempiga.+

  • Malaki 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+

  • Marko 1:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 na kumwambia: “Usimwambie mtu yeyote hata jambo moja, bali nenda ujionyeshe kwa kuhani+ na kutoa vile vitu alivyoamuru Musa kwa ajili ya kutakaswa+ kwako, ili kuwa ushahidi kwao.”+

  • Luka 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye alipowaona akawaambia: “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.”+ Basi walipokuwa wakienda zao wakatakaswa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki