Mathayo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.” Luka 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+
4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.”
14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+