Mathayo 9:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na macho yao yakapata kuona. Zaidi ya hayo, Yesu akawaagiza kwa kusisitiza, akisema: “Msimwambie mtu yeyote jambo hilo.”+ Mathayo 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 lakini akawaagiza kwa kusisitiza wasifunue habari zake;+ Marko 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo akawaamuru wasimwambie yeyote;+ lakini kwa kadiri alivyozidi kuwawaamuru, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+ Luka 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+
30 Na macho yao yakapata kuona. Zaidi ya hayo, Yesu akawaagiza kwa kusisitiza, akisema: “Msimwambie mtu yeyote jambo hilo.”+
36 Ndipo akawaamuru wasimwambie yeyote;+ lakini kwa kadiri alivyozidi kuwawaamuru, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+
14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+