Marko 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo akawaamuru wasimwambie yeyote;+ lakini kwa kadiri alivyozidi kuwawaamuru, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+ Luka 8:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Basi, wazazi wake wakapigwa na bumbuazi; lakini akawaagiza wasimwambie yeyote lililokuwa limetukia.+
36 Ndipo akawaamuru wasimwambie yeyote;+ lakini kwa kadiri alivyozidi kuwawaamuru, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+
56 Basi, wazazi wake wakapigwa na bumbuazi; lakini akawaagiza wasimwambie yeyote lililokuwa limetukia.+