Isaya 42:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hatapaaza kilio wala kupaaza sauti yake, naye hataacha sauti yake isikike barabarani.+ Mathayo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.” Marko 5:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Lakini akawaagiza tena na tena wasimwambie mtu yeyote+ juu ya hilo, naye akasema kwamba mtoto huyo apewe chakula ale.
4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.”
43 Lakini akawaagiza tena na tena wasimwambie mtu yeyote+ juu ya hilo, naye akasema kwamba mtoto huyo apewe chakula ale.