Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ndipo kuhani atatoa amri; naye atachukua ndege wawili walio safi+ na mti wa mwerezi+ na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili+ na hisopo+ ili kujitakasa.

  • Mambo ya Walawi 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye kuhani atatoa toleo la kuteketezwa na toleo la nafaka+ juu ya madhabahu, naye kuhani+ atafanya upatanisho kwa ajili yake;+ naye atakuwa safi.+

  • Marko 1:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 na kumwambia: “Usimwambie mtu yeyote hata jambo moja, bali nenda ujionyeshe kwa kuhani+ na kutoa vile vitu alivyoamuru Musa kwa ajili ya kutakaswa+ kwako, ili kuwa ushahidi kwao.”+

  • Luka 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki