14 “‘Hata hivyo, ikiwa toleo lake la kuteketezwa kwa Yehova ni toleo linalotoka kati ya ndege, basi atatoa toleo lake kutoka kati ya njiwa-tetere+ au hua wachanga.+
49 Na ili kuitakasa nyumba hiyo kutokana na dhambi atachukua ndege wawili+ na mti wa mwerezi+ na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili+ na hisopo.