Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hata hivyo, ikiwa toleo lake la kuteketezwa kwa Yehova ni toleo linalotoka kati ya ndege, basi atatoa toleo lake kutoka kati ya njiwa-tetere+ au hua wachanga.+

  • Mambo ya Walawi 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Naye atamtoa mmoja wa wale njiwa-tetere au wa wale hua wachanga anaoweza kuwapata,+

  • Mambo ya Walawi 14:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Na ili kuitakasa nyumba hiyo kutokana na dhambi atachukua ndege wawili+ na mti wa mwerezi+ na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili+ na hisopo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki