Mambo ya Walawi 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kuhani atatoa dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka+ kwenye madhabahu, naye atamtolea mtu huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake,+ naye atakuwa safi.+
20 Kuhani atatoa dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka+ kwenye madhabahu, naye atamtolea mtu huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake,+ naye atakuwa safi.+