2“‘Sasa ikiwa mtu atamtolea Yehova toleo la nafaka,+ ni lazima toleo lake liwe la unga laini, naye anapaswa kumimina mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.+
10 “Siku ya nane, ataleta wanakondoo dume wawili wasio na kasoro, mwanakondoo jike wa mwaka mmoja asiye na kasoro,+ na sehemu tatu za kumi za kipimo cha efa* ya unga laini uliochanganywa na mafuta kuwa toleo la nafaka,+ na logi moja* ya mafuta;+
4 ni lazima pia mtu anayetoa dhabihu yake amtolee Yehova sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja* ya unga laini+ uliochanganywa na robo ya hini* ya mafuta ili iwe toleo la nafaka.