Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha akatoa toleo la nafaka;+ akachukua mkono mmoja wa toleo hilo na kuliteketeza ili lifuke moshi kwenye madhabahu pamoja na dhabihu ya kuteketezwa ya asubuhi.+

  • Hesabu 15:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Hatimaye mtakapoingia katika nchi ninayowapa mwishi ndani yake,+ 3 na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto kutoka kati ya mifugo au kundi—iwe ni dhabihu ya kuteketezwa+ au dhabihu ya kutimiza nadhiri ya pekee au toleo la hiari+ au dhabihu mnayotoa wakati wa sherehe zenu za majira,+ ili kumtolea Yehova harufu inayompendeza*+— 4 ni lazima pia mtu anayetoa dhabihu yake amtolee Yehova sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja* ya unga laini+ uliochanganywa na robo ya hini* ya mafuta ili iwe toleo la nafaka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki