Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Ikiwa dhabihu anayotoa ni kwa ajili ya nadhiri+ au ni toleo la hiari,+ inapaswa kuliwa siku ambayo anatoa dhabihu hiyo, na nyama inayobaki inaweza pia kuliwa siku inayofuata.

  • Mambo ya Walawi 22:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Waambie hivi Haruni na wanawe na Waisraeli wote: ‘Mwanamume Mwisraeli au mgeni katika Israeli anapomtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa+ ili kutimiza nadhiri zake au kutoa toleo la hiari,+ 19 anapaswa kutoa ng’ombe dume asiye na kasoro,+ wanakondoo dume, au mbuzi ili apate kibali.

  • Mambo ya Walawi 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Mtu akimtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kutimiza nadhiri au akiitoa ikiwa toleo la hiari, anapaswa kutoa mnyama asiye na kasoro kutoka katika mifugo yake au kundi lake, ili apate kibali. Mnyama huyo hapaswi kuwa na kasoro yoyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki