3 nanyi mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto,+ toleo la kuteketezwa+ au dhabihu ili kufanya nadhiri ya pekee au kwa hiari+ au wakati wa sherehe zenu za majira,+ ili kumfanyia Yehova harufu yenye kutuliza,+ kutoka katika mifugo au kutoka katika kundi;