Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Hizi ndizo sherehe za Yehova za majira, makusanyiko matakatifu ambayo mnapaswa kutangaza katika nyakati zilizopangwa za sherehe hizo:

  • Hesabu 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Siku ya 14 ya mwezi wa kwanza, itakuwa Pasaka ya Yehova.+

  • Hesabu 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “‘Na siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+ Mnapaswa kupiga tarumbeta siku hiyo.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Mnapaswa kufanya Sherehe ya Vibanda*+ kwa siku saba mnapokusanya nafaka kutoka katika uwanja wenu wa kupuria na kutoka katika shinikizo lenu la mafuta na divai.

  • Kumbukumbu la Torati 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Yehova Mungu wenu mahali atakapochagua: katika Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda,*+ na hakuna yeyote kati yao anayepaswa kwenda mbele za Yehova mikono mitupu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki