24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+ 25 Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu, nanyi mtamtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto.’”