14 “Unapaswa kunifanyia sherehe mara tatu kwa mwaka.+ 15 Utaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Utakula mikate isiyo na chachu kwa siku saba, kama nilivyokuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu ulitoka Misri wakati huo. Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.+