10 Musa akawaamuru hivi: “Mwishoni mwa kila miaka saba, wakati uliowekwa katika mwaka wa kufuta madeni,+ wakati wa Sherehe ya Vibanda,+ 11 Waisraeli wote wanapokuja mbele za Yehova+ Mungu wao mahali anapochagua, unapaswa kuisoma Sheria hii mbele ya Waisraeli wote ili waisikie.+