-
Mambo ya Walawi 1:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 “Zungumza na Waisraeli* uwaambie, ‘Ikiwa yeyote kati yenu atamtolea Yehova mnyama wa kufugwa, anapaswa kumtolea dhabihu kutoka kati ya mifugo yake au kundi lake.+
3 “‘Ikiwa anatoa dhabihu ya kuteketezwa kutoka kati ya mifugo yake, anapaswa kutoa mnyama dume asiye na kasoro.+ Atamtoa kwa hiari yake mwenyewe+ mbele za Yehova kwenye mlango wa hema la mkutano.
-