19 “Unapaswa kumtakasa kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa ng’ombe wako na kondoo wako kwa ajili ya Yehova Mungu wako.+ Usimtumie mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe dume wako kufanya kazi yoyote wala usimkate manyoya mzaliwa wa kwanza wa kondoo wako.
14 “Amelaaniwa mtu mjanja aliye na mnyama asiye na kasoro katika kundi lake, lakini anaapa na kumtolea Yehova dhabihu ya mnyama mwenye kasoro.* Kwa maana mimi ni Mfalme mkuu,”+ asema Yehova wa majeshi, “na jina langu litakuwa lenye kuogopesha miongoni mwa mataifa.”+