Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hampaswi kutoa kitu chochote chenye kasoro,+ kwa sababu hamtapata kibali mkifanya hivyo.

  • Kumbukumbu la Torati 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Usimtolee Yehova Mungu wako dhabihu ya ng’ombe dume au kondoo mwenye kasoro au mwenye tatizo lolote, kwa sababu jambo hilo litakuwa chukizo kwa Yehova Mungu wako.+

  • Malaki 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mnapomtoa mnyama kipofu kuwa dhabihu, mnasema: “Si vibaya.” Na mnapomtoa mnyama kilema au mgonjwa mnasema: “Si vibaya.”’”+

      “Tafadhali, jaribuni kumtolea gavana wenu vitu hivyo. Je, atapendezwa nanyi au kuwapokea ninyi kwa kibali?” asema Yehova wa majeshi.

  • Waebrania 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 je, damu ya Kristo,+ ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa mwenyewe kwa Mungu bila dosari, haitazisafisha hata zaidi dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tumtolee utumishi mtakatifu Mungu aliye hai?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki