19 “Kila mwanamume mzaliwa wa kwanza atakayezaliwa katika mifugo yako na katika kundi lako utamtakasa kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye utumishi wowote na mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume wako, wala kukata manyoya ya mzaliwa wa kwanza wa kundi lako.+