Mambo ya Walawi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+ Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:3 “Kila Andiko,” kur. 29-30
3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+