Mathayo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.” Marko 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini mara nyingi aliwaagiza kwa kusisitiza wasifanye ajulikane.+ Marko 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo akawaamuru wasimwambie yeyote;+ lakini kwa kadiri alivyozidi kuwawaamuru, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+
4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.”
36 Ndipo akawaamuru wasimwambie yeyote;+ lakini kwa kadiri alivyozidi kuwawaamuru, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+