Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ikiwa ngozi ya mwili wa mtu itatokeza upele au kigaga+ au doa na kukua katika ngozi ya mwili wake na kuwa pigo la ukoma,+ basi ataletwa kwa Haruni kuhani au kwa mmoja wa wanawe walio makuhani.+

  • Mambo ya Walawi 13:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 nalo pigo la rangi ya kijani-manjano au la rangi nyekundu-nyekundu litokee ndani ya vazi hilo au ndani ya ngozi au ndani ya mtande au ndani ya mshindio au ndani ya chombo chochote cha ngozi, ni pigo la ukoma, nalo lazima lionyeshwe kwa kuhani.

  • Mambo ya Walawi 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Hii itakuwa sheria ya mwenye ukoma+ katika siku ya kuthibitisha utakaso wake, atakapoletwa kwa kuhani.+

  • Kumbukumbu la Torati 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Jilinde katika pigo la ukoma,+ ujitunze vizuri na kufanya yote ambayo makuhani Walawi watawaagiza ninyi.+ Kama vile nilivyowaamuru, muwe waangalifu kufanya.+

  • Mathayo 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.”

  • Luka 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote:+ “Lakini nenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa toleo+ la kutakaswa kwako, sawa na vile Musa alivyoamuru, ili kuwa ushahidi kwao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki